Songtexte.com Drucklogo

Tulizana Songtext
von Mbosso

Tulizana Songtext

Eeeh, mmmh, eeh
Ana vidimple dimple
Vishimo shimo mashavuni
Mikononi vipiko piko
Eti kipini kipo kitovuni

Ya nini nibaki kiwiliwili
Na kichwa changu ni wewe
Iweje pendo kwao liwe pilipili
Na twakula wenyewe

Mungu kakuumba
Mithili ya malaika yayaya
Samaki wa kukunja
Chumbani unanyumbulika yaya

Kwa penzi usitie kibanzi
Kitaniumiza ah
Upendo ukawa kitanzi
Nikajining′iniza aah


Ikienda mrama irudishie
(Popoa popoa dodo)
Ikikwama kwama isukumie
(Popoa popoa dodo)

Tulizana
Tulizana mpenzi tupendane
Tulizana mpenzi tupendane
Tulizana mpenzi tupendane
Tulizana mpenzi tupendane

Kama nyota na mwezi
Vilo mwana na angani
Tung'arishe penzi letu sote
Tupeane penzi bila choyo chochote
Na bila hiana kwetu sote

Elewa mapenzi ni chombo
Kinachotuunganisha
Ni chombo kinachosafiri
Kati ya mioyo yetu miwili ilothibiti

Tulizana mpenzi tupendane
Tulizana mpenzi tupendane
Tulizana mpenzi tupendane
Tulizana mpenzi tupendane


Ikienda mrama irudishie
(Popoa popoa dodo)
Ikikwama kwama isukumie
(Popoa popoa dodo)

Ähnliche Songtexte

Songtext kommentieren

Log dich ein um einen Eintrag zu schreiben.
Schreibe den ersten Kommentar!

Quiz
Whitney Houston sang „I Will Always Love ...“?

Fans

»Tulizana« gefällt bisher niemandem.