Safari Songtext
von Papa Wemba & Viva La Musica
Safari Songtext
Maji yango yamecho inenitokana huruma
Kwa kuona watu wawili wanakabulana
Mwingine naenda, mwingine nabaki ya huruma
Juu ya safari
Safari oh safari, umeumiza moyo
Wende, wende ndugu
Kisha masiku kwa nguvu ya mola
Tutaonana tena
Mimi leo naenda tumelakana nawe
Nikishafika atakutumia mkanda
Kwa kujulisha minefika uzima
Safari
Safari oh safari, umeumiza moyo
Wende, wende ndugu
Kisha masiku kwa nguvu ya mola
Tutaonana tena
Watu wengine wanasafiri kwa ndege
Watu wengine wanasafiri kwa mashua
Watu wengine wanasafiri kwa gari
Watu wengine wanasafiri kwa miguu
Safari, safari, safari, safari
Safari, safari
Kwa kuona watu wawili wanakabulana
Mwingine naenda, mwingine nabaki ya huruma
Juu ya safari
Safari oh safari, umeumiza moyo
Wende, wende ndugu
Kisha masiku kwa nguvu ya mola
Tutaonana tena
Mimi leo naenda tumelakana nawe
Nikishafika atakutumia mkanda
Kwa kujulisha minefika uzima
Safari
Safari oh safari, umeumiza moyo
Wende, wende ndugu
Kisha masiku kwa nguvu ya mola
Tutaonana tena
Watu wengine wanasafiri kwa ndege
Watu wengine wanasafiri kwa mashua
Watu wengine wanasafiri kwa gari
Watu wengine wanasafiri kwa miguu
Safari, safari, safari, safari
Safari, safari
Writer(s): Pharrell L. Williams, Jose Alvaro Osorio Balvin, Jesse Eduardo Huerta Uecke, Ramirez Suarez Alejandro, Bianca Landrau Lyrics powered by www.musixmatch.com
